Shule
ni kitu cha msingi sana kwa mtu yoyote hasa yule ambaye ni kioo cha
jamii au kiongozi. Sasa muigizaji Lulu amechukua hatua zake kwenye hii
ishu ya elimu pamoja na kusema maneno,”Gettin more knowledge…..!!!we
have to learn….especially sisi celebrities
wa bongo….wengi wetu tunaongeaga pumba sana in public…yan hatujui nini
tuongee wapi!!!!juc an advice lakni…..!!!!AM GOOD TO GO….”
DKT AKWILAPO KUSHIRIKI KONGAMANO LA MIJI AFRIKA NAIROBI
-
Na Munir Shemweta, Nairobi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt Leonard Akwilapo,
anatarajiwa kuongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Ko...
6 hours ago



0 comments:
Post a Comment