Shule
ni kitu cha msingi sana kwa mtu yoyote hasa yule ambaye ni kioo cha
jamii au kiongozi. Sasa muigizaji Lulu amechukua hatua zake kwenye hii
ishu ya elimu pamoja na kusema maneno,”Gettin more knowledge…..!!!we
have to learn….especially sisi celebrities
wa bongo….wengi wetu tunaongeaga pumba sana in public…yan hatujui nini
tuongee wapi!!!!juc an advice lakni…..!!!!AM GOOD TO GO….”
SIHA KUNG’ARA KUPITIA WEST KILI FOREST TOUR CHALLENGE 2026
-
*Na Mwandishi Wetu, Siha*
*Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro inatarajiwa kupokea zaidi ya washiriki
800 kutoka ndani na nje ya Tanzania katika mashindano ...
2 hours ago


