Mama mzazi wa marehemu Albert Mangweha akiwa ameshikilia tuzo aliyopewa
kwa niaba ya mwanae, tuzo hii aliipata msanii Kala Jeremiah kwenye tuzo
za Kilimanjaro ikiwa kama tuzo ya msanii bora ya Hip Hop 2013-14
DKT. BITEKO AZINDUA PROGRAMU YA UGAWAJI MAJIKO YA UMEME KWA BEI YA RUZUKU
KWA WAFANYAKAZI WA TANESCO
-
📌 Lengo ni kuchochea Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia
📌 Asema matumizi ya umeme kwa ajili ya kupikia ni nafuu zaidi
ukilinganisha na mkaa; Wananchi wa...
30 minutes ago