Kutana na mwanamuziki mahili wa miondoko ya Hip Hop,mwenye uwezo mkubwa na mwaunye mashairi ya kibaba,ambaye amewahi kuwa super nyota wa Fiesta mwaka jana.Joh Maker ndio jina lake la biashara,ambaye anatarajia kuachia bonge ya ngoma hivi karibuni,usiache kutembelea blog hii ili upate habari nyingi zaidi kumuhusu yeye.
KWANINI MICHANGO YA CHADEMA INEKWAMA?
-
KUNA wakati kama binafamu wenye akili timamu lazima tutafakari mambo
yanayoendelea nchini na kwa siku ya leo tujadili kidogo kuhusu michango ya
Chama cha D...
3 hours ago



0 comments:
Post a Comment