Kutana na mwanamuziki mahili wa miondoko ya Hip Hop,mwenye uwezo mkubwa na mwaunye mashairi ya kibaba,ambaye amewahi kuwa super nyota wa Fiesta mwaka jana.Joh Maker ndio jina lake la biashara,ambaye anatarajia kuachia bonge ya ngoma hivi karibuni,usiache kutembelea blog hii ili upate habari nyingi zaidi kumuhusu yeye.
SIHA KUNG’ARA KUPITIA WEST KILI FOREST TOUR CHALLENGE 2026
-
*Na Mwandishi Wetu, Siha*
*Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro inatarajiwa kupokea zaidi ya washiriki
800 kutoka ndani na nje ya Tanzania katika mashindano ...
2 hours ago



0 comments:
Post a Comment