Kutana na mwanamuziki mahili wa miondoko ya Hip Hop,mwenye uwezo mkubwa na mwaunye mashairi ya kibaba,ambaye amewahi kuwa super nyota wa Fiesta mwaka jana.Joh Maker ndio jina lake la biashara,ambaye anatarajia kuachia bonge ya ngoma hivi karibuni,usiache kutembelea blog hii ili upate habari nyingi zaidi kumuhusu yeye.
DKT AKWILAPO KUSHIRIKI KONGAMANO LA MIJI AFRIKA NAIROBI
-
Na Munir Shemweta, Nairobi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt Leonard Akwilapo,
anatarajiwa kuongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Ko...
6 hours ago



0 comments:
Post a Comment