Kutana na mwanamuziki mahili wa miondoko ya Hip Hop,mwenye uwezo mkubwa na mwaunye mashairi ya kibaba,ambaye amewahi kuwa super nyota wa Fiesta mwaka jana.Joh Maker ndio jina lake la biashara,ambaye anatarajia kuachia bonge ya ngoma hivi karibuni,usiache kutembelea blog hii ili upate habari nyingi zaidi kumuhusu yeye.
Matukio : Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi , Awasilisha Salamu za pole za Rais
Dkt. Samia Suluhu Hassan kufuatia kifo cha Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi amefika katika makazi ya Kiaskofu ya Jimbo Kuu Katoliki Dar es
Salaam...
2 minutes ago



0 comments:
Post a Comment